• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Posted on: March 7th, 2022

Katika harakati za kufikia kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yanayofanyika kila mwaka tarehe 8, Machi, Idara ya Maendeleo ya Jamii kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mtama imefanya ziara katika shule tatu za Sekondari kwa lengo la kugawa taulo za kike ikiwa ni kuonesha kumjali na kumthamini mtoto wa kike.

Shule walizotembelea ni shule ya sekondari Mtama, Nyengedi pamoja na Kiwalala ambapo walitumia fursa hiyo kutoa elimu ya jinsia, ukatili wa kijinsia na elimu ya UKIMWI.

Taulo hizo zimetolewa kwa walimu wa malezi ili ziwasaidie watoto wa kike pindi wanapopata hedhi wakiwa shuleni.

Wakizungumza Kwa niaba ya wanafunzi wa shule hizo, walimu wa malezi wametoa shukurani kwa watumishi hao juu ya wito wa kutoa taulo hizo kwani zinakwenda kupunguza hali ya utoro unaosababishwa na baadhi ya wanafunzi wa kike kuwa katika siku zao huku wakikosa vifaa vya kujisitiri.

Wanafunzi wa shule ya sekondari kiwalala wakipokea taulo hizo

Wanafunzi wa shule ya sekondari Mtama wakipokea taulo hizo

Wanafunzi shule ya sekondari Nyengedi wakipokea taulo hizo

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 30, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO KWA MADEREVA HALMASHAURI YA MTAMA July 29, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA July 26, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MADEREVA HALMASHAURI YA MTAMA. July 26, 2022
  • Angalia yote

Habari mpya

  • "TEKELEZENI MIRADI YA MAENDELEO"

    March 18, 2022
  • UZINDUZI ANWANI ZA MAKAZI

    March 15, 2022
  • DED MTAMA ASISITIZA UWAJIBIKAJI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI CHIPONDA

    March 14, 2022
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    March 08, 2022
  • Angalia yote

Video

GIRLS GUIDE LISHE BORA
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.