• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII MTAMA WAKABIDHIWA VIFAA MBALIMBALI KUTOKA WIZARA YA AFYA

Posted on: September 3rd, 2025


Wahudumu wa afya ngazi ya jamii (CHW) katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtama Jana tarehe 02 Septemba 2025 wamekabidhiwa vifaa mbalimbali vya kazi kutoka Wizara ya Afya, Vifaa hivyo ni pamoja na Vitabu vya Mtaa no 3, mabegi ya mgongoni, Tisheti, BP mashine, Rain boot nakadhalika, Tukio hilo limefanyika katika kituo cha afya Mtama kilichopo kata ya Mtama.

Vifaa hivyo vimetolewa kwa wahudumu waliomaliza mafunzo yao katika vyuo vitatu vya afya vinavyotoa mafunzo kwa kada hiyo: Masasi Cohasi, Nachingwea SON, na Mtwara COHAS. Lengo la utoaji wa vifaa hivyo ni kuwawezesha wahudumu hao kutekeleza majukumu yao ya kutoa elimu ya afya kwa jamii kwa ufanisi zaidi, hususan katika maeneo ya pembezoni.

Akizungumza wakati wa tukio hilo, Ndugu Edwin Ngonyani, Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama aliyekabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, aliwataka wahudumu hao kutumia vifaa walivyopokea kwa malengo yaliyokusudiwa. Alisisitiza umuhimu wa kujituma na kuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu na huduma za afya majumbani, kwa kuzingatia kauli mbiu ya programu hiyo: "Nyumba kwa Nyumba, Hatuachi Mtu"

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII MTAMA WAKABIDHIWA VIFAA MBALIMBALI KUTOKA WIZARA YA AFYA

    September 03, 2025
  • DAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA ROBO YA NNE 2024-2025 HALMASHAURI YA MTAMA

    September 02, 2025
  • RAS LINDI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MTAMA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 18, 2025
  • DKT CHILUMBA AWAASA WAUGUZIBKUZINGATIA MAADILI YAO YA KAZI

    June 13, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.