• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

DAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA ROBO YA NNE 2024-2025 HALMASHAURI YA MTAMA

Posted on: September 2nd, 2025


Katibu Tawala Wilaya ya Lindi Ndugu Hudwaifa Rashidi  kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Lindi  leo tarehe 02 Septemba 2025 ameongoza kikao maalum cha Tathmini ya Mkataba wa Lishe kwa Robo ya nne kwa ngazi ya Wilaya katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtama, kikao hiko kimefanyika katika ukumbi mdogo wa Mikutano uliopo Halmashauri ya Mtama huku lengo la kikao hiko ikiwa ni kupokea, kujadili na kutathmini hali ya lishe katika Halmashauri ya Mtama.

Akitoa Tathmini ya Lishe kwa wajumbe wa kikao hiko Ndugu Gozbert Henerico Mratibu wa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Mtama amewapongeza watendaji wa kata pamoja na wataalam kwa kuhakikisha kuwa shule zote zilizopo Halmashauri ya Mtama zinatoa huduma ya upatikanaji wa chakula shuleni kwa asilimia 97 hali iliyopelekea kufanya vizuri katika kiashiria hiko cha lishe.

Naye Ndugu Hudhwaifa Rashidi Mwenyekiti wa kikao hiko kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Lindi amesisitiza utoaji wa hamasa za mara kwa mara ili kuhakikisha wananchi wapate kile ambacho Serikali imekusudia kutoa kwa wananchi wake ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa lishe bora kwa jamii lakini pia amewataka wataalam wote kwa ujumla kushirikiana kila mmoja kwa nafasi yake ili kuhakikisha lishe inapatikana kwa ufanisi shuleni na nyumbani.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII MTAMA WAKABIDHIWA VIFAA MBALIMBALI KUTOKA WIZARA YA AFYA

    September 03, 2025
  • DAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA ROBO YA NNE 2024-2025 HALMASHAURI YA MTAMA

    September 02, 2025
  • RAS LINDI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MTAMA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 18, 2025
  • DKT CHILUMBA AWAASA WAUGUZIBKUZINGATIA MAADILI YAO YA KAZI

    June 13, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.