• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtama District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtama

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Mali Asili
      • Afya
      • Utawala na Utumishi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Nyuki
      • Ununuzi na ugavi
  • Uwekezaji
    • Viwanda
    • Kilimo
    • Utalii
    • Uvuvi
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • PICHA
    • MATUKIO
    • HOTUBA
    • HABARI
  • Mifumo
    • ffars
    • National Sanitation Compaign
      • E-learning
    • Sensa Elimu Msingi
    • Wajasiliamali
    • Government mail System
    • Madeni-Demo

KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

Posted on: May 9th, 2025


Jana tarehe 8 Mei 2025 Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi  Mkoa wa Lindi ikiongozwa na Mhe:Kuruthum Issa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa  imefanya ziara maalumu ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa ilani ya Chama Cha Mapinduzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtama.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Pangaboi uliopo kata ya Nachunyu wenye thamani ya shilingi 500,000, 000/= , Mradi wa shule ya Sekondari ya Wavulana kanda ya kusini uliopo katika kata ya Kiwalala wenye thamani ya Shilingi 4,100,000,000/= lakini pia Mradi wa shule ya Msingi Mtakuja wenye thamani ya shilingi 331,000,000 na Mradi wa Shule ya  Sekondari Mtakuja wenye thamani ya shillingi 560,552,827.

Akiongea na wajumbe pamoja na Wananchi katika ziara hiyo Mhe: Kuruthum amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mtama na timu nzima ya wataalamu kwa kuhakikisha miradi yote inatekelezwa kwa kuzingatia ubora na ilani ya Chama cha Mapinduzi lakini pia Mhe: Kuruthum amewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanawahimiza watoto wao kusoma kwa bidii ili kuyatumia majengo yote ya shule za kisasa zinazojengwa ndani ya Halmashauri ya Mtama.

Aidha  Mwenyekiti wa  Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Lindi Mhe: Athumani Hongonyoko amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DKT: Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha maendeleo yanapatikana katika Mkoa wa Lindi hasa katika sekta ya Afya, Elimu na Maji.

Kwa upande wa Bwn: Patrick Magalinja Katibu wa Siasa na Uwenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM  amewasihi Wananchi wote wa Halmashauri ya Mtama kuhakikisha wanajitokeza kufanya maboresho katika Daftari la Kudumu la Mpiga kura kwa awamu ya pili ili kupata haki ya msingi ya kupiga kura, Zoezi hilo la uboreshaji wa taarifa  linatarajia kuanza rasmi tarehe 16 hadi tarehe 22 Mei mwaka huu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWQENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA MIPAKA YA KATA, VIJIJI NA VITONGOJI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTAMA. September 16, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA ZOTE September 09, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA WATENDAJI MTAMA DC September 09, 2023
  • Angalia yote

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA MKOA WA LINDI YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI HALMASHAURI YA MTAMA

    May 09, 2025
  • DC MWANZIVA AMEITAKA KAMATI YA AFYA HALMASHAURI YA MTAMA KUONGEZA UHAMASISHAJI KWA WANAUME KUHUSU UMUHIMU WA LISHE

    April 29, 2025
  • DC MWANZIVA ASISITIZA KUDUMISHA MUUNGANO LINDI

    April 26, 2025
  • KAMATI YA AFYA YA MSINGI YATOA ELIMU KUHUSU NYONGEZA YA DOZI YA CHANJO YA POLIO HALMASHAURI YA MTAMA

    April 24, 2025
  • Angalia yote

Video

Risala ya utii kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Youtube
  • Mfumo wa Elimu Msingi na Sekondari
  • FOMU YA MAOMBI YA LESENI YA BIASHARA
  • Watumishi Portal

Tovuti Mashuhuri

  • Presidential office and Regional Secretariety
  • Electronic Goverment Agent
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Raisi-UTUMISHI
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya mahali

Wasiliana nasi

    Box 328 Lindi

    Sanduku la Barua: 328 Lindi Dc

    Simu ya mezani: 0222061

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@lindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya ndani
    • Katazo
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Mtama District Council All rights reserved.